Skip to content
1 Nyakati 1:17-23

1 Nyakati 1:17-23

17
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
18
Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.
19
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
20
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22
Obali, Abimaeli, Sheba,
23
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options