Mistari ya Biblia kuhusu Zerubbabel: Called Zorobabel in the genealogy of Joseph
Mistari kuhusu Called Zorobabel in the genealogy of Joseph
Baada ya uhamisho wa Babeli: Yekonia alimzaa Shealtieli, Shealtieli akamzaa Zerubabeli,
Yoda alikuwa mwana wa Yoanani, Yoanani alikuwa mwana wa Resa, Resa alikuwa mwana wa Zerubabeli, Zerubabeli alikuwa mwana wa Shealtieli, Shealtieli alikuwa mwana wa Neri,