Mistari ya Biblia kuhusu Zechariah: 8. A Levite, and father of Jahaziel
Mistari kuhusu 8. A Levite, and father of Jahaziel
Ndipo Roho wa Bwana akaja juu ya mtu mmoja jina lake Yahazieli mwana wa Zekaria, mwana wa Benaya, Mwana wa Yeieli, mwana wa Matania, Mlawi mzao wa Asafu alipokuwa amesimama katika kusanyiko.