Mistari ya Biblia kuhusu Zared: Called also Zered, a brook.
Mistari kuhusu Called also Zered, a brook.
Kutoka hapo waliendelea mbele wakapiga kambi kwenye Bonde la Zeredi.
Bwana akasema, “Sasa ondokeni mvuke Bonde la Zeredi.” Hivyo tukavuka bonde.
Miaka thelathini na minane ilipita tangu wakati tulipoondoka Kadesh-Barnea mpaka tulipovuka Bonde la Zeredi. Kwa wakati huo kile kizazi chote cha wanaume kuanzia wale wawezao kwenda vitani kilikuwa kimekufa, kama Bwana alivyokuwa amewaapia.