Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Zared

3 mistari · 1 kipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Kutoka hapo waliendelea mbele wakapiga kambi kwenye Bonde la Zeredi.

  2. Bwana akasema, “Sasa ondokeni mvuke Bonde la Zeredi.” Hivyo tukavuka bonde.

  3. Miaka thelathini na minane ilipita tangu wakati tulipoondoka Kadesh-Barnea mpaka tulipovuka Bonde la Zeredi. Kwa wakati huo kile kizazi chote cha wanaume kuanzia wale wawezao kwenda vitani kilikuwa kimekufa, kama Bwana alivyokuwa amewaapia.