Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Zaanaim: Called also Zaanannim, a plain near Kedesh.

2 mistari · 1 kipengele

Mistari kuhusu Called also Zaanannim, a plain near Kedesh.

  1. Mpaka wao uliendelea kutoka Helefi na kwenye mti mkubwa ulio katika Saananimu, ukipitia Adami-Nekebu na Yabineeli hadi Lakumu, na kuishia katika Mto Yordani.

  2. Basi Heberi, Mkeni, alikuwa amejitenga na Wakeni wengine, yaani, wazao wa Hobabu, mkwewe Mose, naye akapiga hema lake karibu na ule mti mkubwa wa mwaloni ulioko Saananimu, karibu na Kedeshi.