Skip to content

Zaanannim

2 verses · 2 known names

Anajulikana pia kama: Zaanaim

33.1100, 35.5300 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Zaanannim

  1. Mpaka wao uliendelea kutoka Helefi na kwenye mti mkubwa ulio katika Saananimu, ukipitia Adami-Nekebu na Yabineeli hadi Lakumu, na kuishia katika Mto Yordani.

  2. Basi Heberi, Mkeni, alikuwa amejitenga na Wakeni wengine, yaani, wazao wa Hobabu, mkwewe Mose, naye akapiga hema lake karibu na ule mti mkubwa wa mwaloni ulioko Saananimu, karibu na Kedeshi.