Mistari ya Biblia kuhusu Walls of the Cities: Of Bashan, destroyed by the Israelites
Mistari kuhusu Of Bashan, destroyed by the Israelites
Miji yote hii ilijengewa ngome zenye kuta ndefu zenye malango na makomeo, pia kulikuwako na vijiji vingi ambavyo havikujengewa kuta.
Tuliwaangamiza kabisa, kama tulivyomfanyia Sihoni mfalme wa Heshboni, tukiangamiza kila mji, yaani wanaume, wanawake na watoto.