Mistari ya Biblia kuhusu Union With Christ: Obeying him
Mistari kuhusu Obeying him
Wale wote wanaozishika amri zake hukaa ndani yake na yeye ndani yao. Hivi ndivyo tunavyojua kwamba anakaa ndani yetu. Nasi twajua hili kwa njia ya Roho yule aliyetupa.