Mistari ya Biblia kuhusu Tower: Of Penuel
Mistari kuhusu Of Penuel
Kutoka hapo alikwea mpaka Penieli na kutoa ombi lile lile, lakini nao watu wa Penieli wakamjibu kama watu wa Sukothi walivyokuwa wamemjibu.
Hivyo akawaambia watu wa Penieli, “Nitakaporudi baada ya kushinda, nitaubomoa mnara huu.”
Pia akaubomoa mnara wa Penieli na kuwaua watu wa mji.