Mistari ya Biblia kuhusu Titles and Names of the Wicked: Sons of Belial
Mistari kuhusu Sons of Belial
Wana wa Eli walikuwa watu wabaya kabisa, hawakumheshimu Bwana.
Lakini waketisheni watu wawili wabaya kabisa mkabala naye, nao washuhudie kuwa yeye amemlaani Mungu na mfalme. Kisha mtoeni nje na kumpiga kwa mawe hadi afe.”