Mistari ya Biblia kuhusu Timaeus: Father of a blind man cured by Jesus.
Mistari kuhusu Father of a blind man cured by Jesus.
Kisha wakafika Yeriko. Yesu alipokuwa akiondoka mjini na wanafunzi wake pamoja na umati mkubwa wa watu, kipofu mmoja, jina lake Bartimayo, mwana wa Timayo, alikuwa ameketi kando ya njia akiomba msaada.