Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Timaeus

1 mstari · 1 kipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Kisha wakafika Yeriko. Yesu alipokuwa akiondoka mjini na wanafunzi wake pamoja na umati mkubwa wa watu, kipofu mmoja, jina lake Bartimayo, mwana wa Timayo, alikuwa ameketi kando ya njia akiomba msaada.