Mistari ya Biblia kuhusu The Truth of God: Works
Mistari kuhusu Works
Kwa kuwa Bwana ni mwenye haki, yeye hupenda haki. Wanyofu watauona uso wake.
Maana neno la Bwana ni haki na kweli, ni mwaminifu kwa yote atendayo.
Basi mimi, Nebukadneza, humhimidi, na humtukuza na kumsifu Mfalme wa mbinguni, kwa sababu kila kitu afanyacho ni haki, na njia zake zote ni adili. Nao waendao kwa kiburi anaweza kuwashusha.