Mistari ya Biblia kuhusu The Tribe Of Judah: Families of
Mistari kuhusu Families of
Eri na Onani walikuwa wana wa Yuda, lakini walifia huko Kanaani.
Wazao wa Yuda kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Shela, ukoo wa Washela; kutoka kwa Peresi, ukoo wa Waperesi; kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera.
Wazao wa Peresi walikuwa: kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni; kutoka kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.