Mistari ya Biblia kuhusu The Plague or Pestilence: Fatal to man and beast
Mistari kuhusu Fatal to man and beast
Aliitengenezea njia hasira yake, hakuwaepusha na kifo, bali aliwaachia tauni.
Nitawaangamiza waishio katika mji huu, watu na wanyama, nao watauawa kwa tauni ya kutisha.