Mistari ya Biblia kuhusu The Moth: (Eating a garment,) of God's judgments
Mistari kuhusu (Eating a garment,) of God's judgments
Ni Bwana Mwenyezi anisaidiaye mimi. Ni nani huyo atakayenihukumu? Wote watachakaa kama vazi, nondo watawala wawamalize.
Kwa maana nondo atawala kama vazi, nao funza atawatafuna kama sufu. Lakini haki yangu itadumu milele, wokovu wangu kwa vizazi vyote.”