Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu The King Christ: Is King of Zion

4 mistari · 24 vipengele

Mistari kuhusu Is King of Zion

  1. Siku iliyofuata umati mkubwa uliokuwa umekuja kwenye Sikukuu walisikia kwamba Yesu angekuja Yerusalemu.

  2. Basi wakachukua matawi ya mitende, wakatoka kwenda kumlaki, huku wakipaza sauti wakisema, “Hosana!” “Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana!” “Amebarikiwa Mfalme wa Israeli!”

  3. Yesu akamkuta mwana-punda akampanda, kama ilivyoandikwa,

  4. “Usiogope, Ewe binti Sayuni; tazama, Mfalme wako anakuja, amepanda mwana-punda!”