Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Swearing Falsely: Fraud often leads to

2 mistari · 17 vipengele

Mistari kuhusu Fraud often leads to

  1. “Kama mtu yeyote akitenda dhambi, naye si mwaminifu kwa Bwana kwa kumdanganya jirani yake kuhusu kitu fulani alichokabidhiwa, au kimeachwa chini ya utunzaji wake, au kimeibwa, au kama akimdanganya,

  2. au akiokota mali iliyopotea na akadanganya, au kuapa kwa uongo, au kama akitenda dhambi yoyote ambayo watu waweza kuitenda;