Mistari ya Biblia kuhusu Strangers in Israel: Not to practise idolatrous rites
Mistari kuhusu Not to practise idolatrous rites
“Sema na wana wa Israeli: ‘Mwisraeli yeyote au mgeni anayeishi katika Israeli ambaye atamtoa yeyote miongoni mwa watoto wake kuwa sadaka kwa mungu Moleki, mtu huyo lazima auawe. Watu wa jumuiya hiyo watampiga kwa mawe.