Mistari ya Biblia kuhusu Sodomites: Destroyed by fire as a judgment
Mistari kuhusu Destroyed by fire as a judgment
Ndipo Bwana akanyesha moto wa kiberiti uliotoka mbinguni kwa Bwana juu ya Sodoma na Gomora.
Hivyo akaiteketeza miji ile na eneo lote la tambarare, pamoja na wote waliokuwa wanaishi katika miji, hata pia mimea yote katika nchi.