Mistari ya Biblia kuhusu Slime: Used in the ark of Moses
Mistari kuhusu Used in the ark of Moses
Lakini alipoona hawezi kumficha zaidi, akamtengenezea kisafina cha mafunjo, akakipaka lami. Kisha akamweka huyo mtoto ndani yake, akakificha katikati ya matete kando ya ukingo wa Mto Naili.