Mistari ya Biblia kuhusu Silver: Given by the Israelite for making the tabernacle
Mistari kuhusu Given by the Israelite for making the tabernacle
Hizi ndizo sadaka utakazozipokea kutoka kwao: dhahabu, fedha na shaba;
Wale waliotoa sadaka ya fedha au shaba wakavileta kama sadaka kwa Bwana, na kila aliyekuwa na mti wa mshita kwa ajili ya kazi yoyote ile akauleta.