Mistari ya Biblia kuhusu Shepherd: Was an abomination to the Egyptians
Mistari kuhusu Was an abomination to the Egyptians
Mjibuni, ‘Watumwa wako wamekuwa wachunga mifugo tangu ujana wetu mpaka sasa, kama baba zetu walivyofanya.’ Ndipo mtakaporuhusiwa kukaa katika nchi ya Gosheni, kwa kuwa wachunga mifugo wote ni chukizo kwa Wamisri.”