Mistari ya Biblia kuhusu Shemuel
Mistari muhimu ya Biblia
Shemueli mwana wa Amihudi, kutoka kabila la Simeoni;
Wana wa Tola walikuwa: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.