Mistari ya Biblia kuhusu Shemaiah: 19. A false prophet in the time of Nehemiah
Mistari kuhusu 19. A false prophet in the time of Nehemiah
Siku moja nilikwenda nyumbani kwa Shemaya mwana wa Delaya, mwana wa Mehetabeli, ambaye alikuwa amefungwa ndani ya nyumba yake. Akasema, “Tukutane katika nyumba ya Mungu, ndani ya Hekalu, na tufunge milango ya Hekalu, kwa sababu watu wanakuja kukuua. Naam, wanakuja usiku kukuua.”