Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Shebaniah

7 mistari · 4 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Shebania, Yoshafati, Nethaneli, Amasai, Zekaria, Benaya na Eliezeri, makuhani, walikuwa wapiga tarumbeta mbele ya Sanduku la Mungu. Obed-Edomu na Yehiya waliwekwa pia kuwa mabawabu wa Sanduku.

  2. Walawi wafuatao walikuwa wamesimama kwenye ngazi: Yeshua, Bani, Kadmieli, Shebania, Buni, Sherebia, Bani na Kenani. Hawa walimlilia Bwana Mungu wao kwa sauti kubwa.

  3. Nao Walawi Yeshua, Kadmieli, Bani, Hashabnea, Sherebia, Hodia, Shebania na Pethahia wakasema: “Simameni mkamsifu Bwana Mungu wenu, yeye ambaye ni Mungu tangu milele hata milele. “Libarikiwe jina lake tukufu, litukuzwe juu ya baraka zote na sifa.

  4. Hatushi, Shebania, Maluki,

  5. na wenzao: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,

  6. Zakuri, Sherebia, Shebania,

  7. wa jamaa ya Maluki, Yonathani; wa jamaa ya Shebania, Yosefu;