Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Shebaniah: 2. A Levite who joined Nehemiah in covenant

3 mistari · 4 vipengele

Mistari kuhusu 2. A Levite who joined Nehemiah in covenant

  1. Walawi wafuatao walikuwa wamesimama kwenye ngazi: Yeshua, Bani, Kadmieli, Shebania, Buni, Sherebia, Bani na Kenani. Hawa walimlilia Bwana Mungu wao kwa sauti kubwa.

  2. Nao Walawi Yeshua, Kadmieli, Bani, Hashabnea, Sherebia, Hodia, Shebania na Pethahia wakasema: “Simameni mkamsifu Bwana Mungu wenu, yeye ambaye ni Mungu tangu milele hata milele. “Libarikiwe jina lake tukufu, litukuzwe juu ya baraka zote na sifa.

  3. na wenzao: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,