Mistari ya Biblia kuhusu Secret: Of others not to be divulged
Mistari kuhusu Of others not to be divulged
Kama ukifanya shauri na jirani yako, usisaliti siri ya mtu mwingine,
“Kama ndugu yako akikukosea, nenda ukamwonyeshe kosa lake, kati yenu ninyi wawili peke yenu. Kama akikusikiliza, utakuwa umempata tena ndugu yako.