Mistari ya Biblia kuhusu Scribes: Wore long robes and loved pre-eminence
Mistari kuhusu Wore long robes and loved pre-eminence
Alipokuwa akifundisha, Yesu alisema, “Jihadharini na walimu wa sheria. Wao hupenda kutembea wakiwa wamevaa mavazi marefu, na kusalimiwa kwa heshima masokoni.
Pia wao hupenda kukaa kwenye viti vya mbele katika masinagogi, na kupewa nafasi za heshima katika karamu.