Mistari ya Biblia kuhusu Sarid: A city on the boundary of the tribe of Zebulun.
Mistari kuhusu A city on the boundary of the tribe of Zebulun.
Kura ya tatu ikaangukia kabila la Zabuloni, ukoo kwa ukoo: Mpaka wa urithi wao uliendelea hadi Saridi.
Ukageuka mashariki, kuanzia Saridi kuelekea mawio ya jua hadi kwenye nchi ya Kisiloth-Tabori, na kwenda hadi Daberathi, kupanda Yafia.