Skip to content

Sarid

2 verses

32.6800, 35.1900 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Sarid

  1. Kura ya tatu ikaangukia kabila la Zabuloni, ukoo kwa ukoo: Mpaka wa urithi wao uliendelea hadi Saridi.

  2. Ukageuka mashariki, kuanzia Saridi kuelekea mawio ya jua hadi kwenye nchi ya Kisiloth-Tabori, na kwenda hadi Daberathi, kupanda Yafia.