Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Samuel: A judge of Israel, his judgment seat at Beth-El, Gilgal, Mizpeh, and Ramah

3 mistari · 22 vipengele

Mistari kuhusu A judge of Israel, his judgment seat at Beth-El, Gilgal, Mizpeh, and Ramah

  1. Samweli akaendelea kama mwamuzi juu ya Israeli siku zote za maisha yake.

  2. Mwaka hadi mwaka aliendelea kuzunguka kutoka Betheli mpaka Gilgali na Mispa, akiamua Israeli katika sehemu hizo zote.

  3. Lakini kila mara alirudi Rama, kulikokuwa nyumbani kwake, huko pia aliwaamua Israeli. Naye huko alimjengea Bwana madhabahu.