Mistari ya Biblia kuhusu Resignation: Bodily suffering
Mistari kuhusu Bodily suffering
Ndipo Ayubu akachukua kigae na kujikuna nacho huku akiketi kwenye majivu.
Mke wake akamwambia, “Je, bado unashikamana na uadilifu wako? Mlaani Mungu nawe ukafe!”
Akamjibu, “Unazungumza kama vile ambavyo mwanamke mpumbavu yeyote angenena. Je, tupokee mema mikononi mwa Mungu, nasi tusipokee na udhia?” Katika mambo haya yote, Ayubu hakutenda dhambi katika kusema kwake.