Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Rebekah: Daughter of Bethuel, grandniece of Abraham

4 mistari · 9 vipengele

Mistari kuhusu Daughter of Bethuel, grandniece of Abraham

  1. Baada ya muda, Abrahamu akaambiwa, “Milka pia amepata watoto, amemzalia ndugu yako Nahori wana:

  2. Usi mzaliwa wake wa kwanza, Buzi nduguye, Kemueli (baba wa Aramu),

  3. Kesedi, Hazo, Pildashi, Yidlafu na Bethueli.”

  4. Bethueli akamzaa Rebeka. Milka alimzalia Nahori nduguye Abrahamu hao wana wanane.