Mistari ya Biblia kuhusu Rebekah: Daughter of Bethuel, grandniece of Abraham
Mistari kuhusu Daughter of Bethuel, grandniece of Abraham
Baada ya muda, Abrahamu akaambiwa, “Milka pia amepata watoto, amemzalia ndugu yako Nahori wana:
Usi mzaliwa wake wa kwanza, Buzi nduguye, Kemueli (baba wa Aramu),
Kesedi, Hazo, Pildashi, Yidlafu na Bethueli.”
Bethueli akamzaa Rebeka. Milka alimzalia Nahori nduguye Abrahamu hao wana wanane.