Mistari ya Biblia kuhusu Ramoth
Mistari muhimu ya Biblia
pamoja na vijiji vyote vinavyoizunguka miji hii mpaka Baalath-Beeri (ambayo ndiyo Rama iliyo katika Negebu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simeoni ukoo kwa ukoo.
Akazituma kwa wale waliokuwa Betheli, Ramoth-Negebu na Yatiri;
Ramothi na Anemu, pamoja na maeneo yake ya malisho.
Kutoka wazao wa Bani: Meshulamu, Maluki, Adaya, Yashubu, Sheali na Yeremothi.