Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Ramoth

4 mistari · 3 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. pamoja na vijiji vyote vinavyoizunguka miji hii mpaka Baalath-Beeri (ambayo ndiyo Rama iliyo katika Negebu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simeoni ukoo kwa ukoo.

  2. Akazituma kwa wale waliokuwa Betheli, Ramoth-Negebu na Yatiri;

  3. Ramothi na Anemu, pamoja na maeneo yake ya malisho.

  4. Kutoka wazao wa Bani: Meshulamu, Maluki, Adaya, Yashubu, Sheali na Yeremothi.