Mistari ya Biblia kuhusu Precious Stones: Jewels
Mistari kuhusu Jewels
Ninafurahia sana katika Bwana, nafsi yangu inashangilia katika Mungu wangu. Kwa maana amenivika mavazi ya wokovu, na kunipamba kwa joho la haki, kama vile bwana arusi apambavyo kichwa chake kama kuhani, na kama bibi arusi ajipambavyo kwa vito vyake vya thamani.
nikaweka hazama puani mwako, vipuli masikioni mwako na taji nzuri sana kichwani mwako.