Mistari ya Biblia kuhusu Pharez: A twin son of Judah by Tamar
Mistari kuhusu A twin son of Judah by Tamar
Lakini alipourudisha mkono wake ndugu yake akaanza kutoka, naye akasema, “Hivi ndivyo ulivyotoka kwa nguvu!” Akaitwa Peresi.
Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.