Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Phallu

5 mistari · 1 kipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Wana wa Reubeni ni: Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi.

  2. Hawa walikuwa wakuu wa jamaa zao: Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Israeli walikuwa Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi. Hawa walikuwa ndio koo za Reubeni.

  3. Wazao wa Reubeni, mwana mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa: kutoka kwa Hanoki, ukoo wa Wahanoki; kutoka kwa Palu, ukoo wa Wapalu;

  4. Mwana wa Palu alikuwa Eliabu,

  5. Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli walikuwa: Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi.