Mistari ya Biblia kuhusu Modern Samaria: Were superstitious
Mistari kuhusu Were superstitious
Basi mtu mmoja jina lake Simoni alikuwa amefanya uchawi kwa muda mrefu katika mji huo akiwashangaza watu wote wa Samaria. Alijitapa kwamba yeye ni mtu mkuu,
nao watu wote wakubwa kwa wadogo wakamsikiliza na kumaka, wakisema “Mtu huyu ndiye uweza wa Mungu ujulikanao kama ‘Uweza Mkuu.’ ”
Wakamfuata kwa sababu kwa muda mrefu alikuwa amewashangaza kwa uchawi wake.