Mistari ya Biblia kuhusu Modern Judea: Often left, to escape persecution
Mistari kuhusu Often left, to escape persecution
Mafarisayo wakasikia kwamba Yesu alikuwa anapata na kubatiza wanafunzi wengi zaidi kuliko Yohana,
ingawa kwa kweli si Yesu mwenyewe aliyekuwa akibatiza, ila ni wanafunzi wake.
Bwana alipojua mambo haya, aliondoka Uyahudi akarudi tena Galilaya.