Mistari ya Biblia kuhusu Meribah: 2. Meribah-kadesh, fountain in the desert of Zin
Mistari kuhusu 2. Meribah-kadesh, fountain in the desert of Zin
Haya yalikuwa maji ya Meriba, mahali pale ambapo Waisraeli waligombana na Bwana, naye akajionyesha mwenyewe huko kuwa mtakatifu katikati yao.
“Aroni atakusanywa pamoja na watu wake. Hataingia katika nchi ninayowapa Waisraeli, kwa sababu ninyi wawili mliasi dhidi ya agizo langu kwenye maji ya Meriba.