Skip to content

Sin

4 verses

28.8300, 33.4200 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Sin

  1. Jumuiya yote ya Kiisraeli ikaondoka Elimu, wakafika Jangwa la Sini, lililokuwa kati ya Elimu na Sinai, siku ya kumi na tano ya mwezi wa pili baada ya kutoka Misri.

  2. Jumuiya yote ya Israeli ikaondoka kutoka Jangwa la Sini, ikisafiri kutoka sehemu moja hadi nyingine kama Bwana alivyoagiza. Wakapiga kambi huko Refidimu, lakini hapakuwa na maji ya watu kunywa.

  3. Wakaondoka kando ya Bahari ya Shamu na kupiga kambi katika Jangwa la Sini.

  4. Wakaondoka katika Jangwa la Sini, wakapiga kambi huko Dofka.