Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Mercy: To backsliders

6 mistari · 16 vipengele

Mistari kuhusu To backsliders

  1. Nitaondoka na kurudi kwa baba yangu na kumwambia: Baba, nimetenda dhambi mbele za Mungu na mbele yako.

  2. Sistahili tena kuitwa mwanao; nifanye kama mmoja wa watumishi wako.’

  3. Basi akaondoka, akaenda kwa baba yake. “Lakini alipokuwa bado yuko mbali, baba yake akamwona, moyo wake ukajawa na huruma. Akamkimbilia mwanawe, akamkumbatia na kumbusu.

  4. Adhabu hii aliyopewa na wengi inamtosha.

  5. Basi sasa badala yake, inawapasa kumsamehe na kumfariji, ili asigubikwe na huzuni kupita kiasi.

  6. Kwa hiyo, nawasihi, mpate kuuthibitisha tena upendo wenu kwa ajili yake.