Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Leah: Flees with Jacob

6 mistari · 5 vipengele

Mistari kuhusu Flees with Jacob

  1. Akawaweka wale watumishi wa kike na watoto wao mbele, Lea na watoto wake wakafuata, Raheli na Yosefu wakaja nyuma.

  2. Yeye mwenyewe akatangulia mbele na kusujudu mara saba alipomkaribia ndugu yake.

  3. Lakini Esau akamkimbilia Yakobo kumlaki na kumkumbatia, akamwangukia shingoni na kumbusu. Nao wakalia.

  4. Esau akainua macho akawaona wale wanawake na watoto. Akauliza, “Hawa uliofuatana nao ni nani?” Yakobo akamjibu, “Ni watoto ambao Mungu amempa mtumishi wako kwa neema.”

  5. Kisha wale watumishi wa kike na watoto wao wakakaribia na kusujudu.

  6. Kisha Lea na watoto wake wakaja na kusujudu. Mwisho wa wote wakaja Yosefu na Raheli, nao pia wakasujudu.