Mistari ya Biblia kuhusu Kenites
Mistari muhimu ya Biblia
Kisha akawaona Wakeni, akatoa ujumbe wake: “Makao yenu ni salama, kiota chenu kiko kwenye mwamba.
Hata hivyo ninyi Wakeni mtaangamizwa Ashuru atakapowachukua mateka.”
Ndipo akatoa ujumbe wake: “Lo, ni nani atakayeweza kuishi wakati Mungu atakapofanya hili?