Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Jehieli: Son of Laadan.

2 mistari · 1 kipengele

Mistari kuhusu Son of Laadan.

  1. Wazao wa Ladani, waliokuwa Wagershoni kupitia Ladani na waliokuwa viongozi wa jamaa za Ladani Mgershoni, walikuwa Yehieli,

  2. wana wa Yehieli, wana wa Zethamu na wa nduguye Yoeli. Wao walikuwa waangalizi wa hazina za Hekalu la Bwana.