Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Hittites: Solomon intermarries with

2 mistari · 29 vipengele

Mistari kuhusu Solomon intermarries with

  1. Watu wote waliosalia kutoka kwa Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi (haya mataifa hayakuwa Waisraeli),

  2. yaani, wazao wao waliobakia katika nchi, ambao Waisraeli hawakuwa wamewaangamiza: hawa Solomoni akawalazimisha kuwa watumwa katika shokoa, kama ilivyo hadi leo.