Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Hittites: Intermarry with Israelites

3 mistari · 29 vipengele

Mistari kuhusu Intermarry with Israelites

  1. Waisraeli wakaishi miongoni mwa Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi.

  2. Wakawaoa binti zao, nao wakawatoa binti zao waolewe na wana wa hayo mataifa, na kuitumikia miungu yao.

  3. Waisraeli wakafanya maovu machoni pa Bwana, wakamsahau Bwana Mungu wao na kutumikia Mabaali na Maashera.