Mistari ya Biblia kuhusu Hatach
Mistari muhimu ya Biblia
Ndipo Esta akamwita Hathaki, mmojawapo wa matowashi wa mfalme ambaye alikuwa amewekwa kumhudumia Esta, akamwagiza kutafuta ni nini kilikuwa kikimtaabisha Mordekai na ni kwa nini.
Basi Hathaki alitoka nje kumwendea Mordekai kwenye uwanja ulio wazi wa mji mbele ya lango la mfalme.
Hathaki akarudi kwa Esta na kumwarifu alilolisema Mordekai.
Kisha Esta akamwamuru Hathaki amweleze Mordekai,